Zaburi 109:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kosa la mababu zao na likumbukwe na Yehova,+Na dhambi ya mama yake+—isifutiliwe mbali.+ Hosea 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+ Hosea 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.
13 Walizidi kunitolea dhabihu ya nyama kuwa dhabihu za zawadi,+ nao wakaendelea kula vitu ambavyo Yehova hakufurahia.+ Sasa atakumbuka kosa lao na kutoza hesabu kwa sababu ya dhambi zao.+ Ndipo wao waliporudi Misri.+
9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.