Nehemia 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wala usifunike kosa+ lao na dhambi yao kutoka mbele zako. Lisifutiliwe mbali, kwa maana wamewakosea wajenzi. Yeremia 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe, Ee Yehova, unajua vema shauri lao lote juu yangu ili kuniua.+ Usilifunike kosa lao, wala usiifute ile dhambi yao kutoka mbele zako; bali wawe watu waliokwazwa mbele zako.+ Katika wakati wa hasira yako uwachukulie hatua.+
5 Wala usifunike kosa+ lao na dhambi yao kutoka mbele zako. Lisifutiliwe mbali, kwa maana wamewakosea wajenzi.
23 Lakini wewe, Ee Yehova, unajua vema shauri lao lote juu yangu ili kuniua.+ Usilifunike kosa lao, wala usiifute ile dhambi yao kutoka mbele zako; bali wawe watu waliokwazwa mbele zako.+ Katika wakati wa hasira yako uwachukulie hatua.+