Zaburi 59:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ndiye Mungu wa Israeli.+Uamke uyaelekezee mataifa yote fikira zako.+ Usiwape kibali wasaliti wowote wenye kuumiza.+ Sela. Zaburi 69:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wape kosa juu ya kosa lao,+Wala wasiingie katika uadilifu wako.+ Yeremia 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe, Ee Yehova, unajua vema shauri lao lote juu yangu ili kuniua.+ Usilifunike kosa lao, wala usiifute ile dhambi yao kutoka mbele zako; bali wawe watu waliokwazwa mbele zako.+ Katika wakati wa hasira yako uwachukulie hatua.+ 2 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—
5 Nawe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ndiye Mungu wa Israeli.+Uamke uyaelekezee mataifa yote fikira zako.+ Usiwape kibali wasaliti wowote wenye kuumiza.+ Sela.
23 Lakini wewe, Ee Yehova, unajua vema shauri lao lote juu yangu ili kuniua.+ Usilifunike kosa lao, wala usiifute ile dhambi yao kutoka mbele zako; bali wawe watu waliokwazwa mbele zako.+ Katika wakati wa hasira yako uwachukulie hatua.+
14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—