Zaburi 35:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+ Zaburi 59:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ndiye Mungu wa Israeli.+Uamke uyaelekezee mataifa yote fikira zako.+ Usiwape kibali wasaliti wowote wenye kuumiza.+ Sela. Zaburi 109:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kosa la mababu zao na likumbukwe na Yehova,+Na dhambi ya mama yake+—isifutiliwe mbali.+
4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+
5 Nawe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ndiye Mungu wa Israeli.+Uamke uyaelekezee mataifa yote fikira zako.+ Usiwape kibali wasaliti wowote wenye kuumiza.+ Sela.