Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+ Methali 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kutokana na matunda ya kinywa chake, mtu atakula mema,+ lakini nafsi ya wale wanaotenda kwa hila ni ujeuri.+
2 Kutokana na matunda ya kinywa chake, mtu atakula mema,+ lakini nafsi ya wale wanaotenda kwa hila ni ujeuri.+