Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usiviinamie wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ na ambaye huleta adhabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la akina baba, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • Mambo ya Walawi 26:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa.

  • 2 Samweli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na ianguke na kurudi juu ya kichwa+ cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake, wala asikose katika nyumba ya Yoabu+ mwanamume anayetokwa na mtiririko+ au mwenye ukoma+ au mwanamume anayeshika gurudumu linalozunguka la kusokota nyuzi+ au anayeanguka kwa upanga au mwenye uhitaji wa mkate!”+

  • 2 Samweli 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi kukawa na njaa+ katika siku za Daudi kwa miaka mitatu, mwaka baada ya mwaka; naye Daudi akatafuta shauri mbele za uso wa Yehova. Kisha Yehova akasema: “Kuna hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+

  • Mathayo 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hivyo, basi, kijazeni kipimo+ cha mababu zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki