20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+
15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+
5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+