-
Mambo ya Walawi 10:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Watauleta mguu wa lile fungu takatifu na kile kidari cha toleo la kutikisa+ pamoja na matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto, ya vile vipande vyenye mafuta, ili kutikisa toleo la kutikisa huku na huku, mbele za Yehova; nalo litakuwa posho+ mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yako na wanao pamoja nawe, kama vile Yehova ameamuru.”
-