Mambo ya Walawi 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye Musa akachukua kidari+ na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Kutoka katika yule kondoo-dume wa kuweka rasmi kikawa fungu+ la Musa, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Hesabu 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na nyama yao itakuwa yako. Kama vile kidari cha toleo la kutikisa na kama ule mguu wa kuume, inapaswa kuwa yako.+
29 Naye Musa akachukua kidari+ na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Kutoka katika yule kondoo-dume wa kuweka rasmi kikawa fungu+ la Musa, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
18 Na nyama yao itakuwa yako. Kama vile kidari cha toleo la kutikisa na kama ule mguu wa kuume, inapaswa kuwa yako.+