26 “Nawe utachukua kidari cha yule kondoo-dume wa kuweka rasmi,+ aliye wa Haruni, na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova, nacho kitakuwa fungu lako.
30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.