15 Watauleta mguu wa fungu takatifu na kidari cha toleo la kutikiswa pamoja na dhabihu za mafuta zinazochomwa kwa moto, ili vitikiswe mbele za Yehova vikiwa toleo la kutikiswa kwenda mbele na nyuma; hilo litakuwa posho yako na posho ya kudumu ya wanao,+ kama Yehova alivyoamuru.”