Waefeso 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na ili avipatanishe+ kwa ukamili hivyo vikundi viwili vya watu+ katika mwili mmoja kwa Mungu kupitia mti wa mateso,+ kwa sababu alikuwa ameua ule uadui+ kwa njia ya yeye mwenyewe. Waefeso 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+
16 na ili avipatanishe+ kwa ukamili hivyo vikundi viwili vya watu+ katika mwili mmoja kwa Mungu kupitia mti wa mateso,+ kwa sababu alikuwa ameua ule uadui+ kwa njia ya yeye mwenyewe.
18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+