Mambo ya Walawi 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova, mikusanyiko mitakatifu,+ ambazo mtatangaza katika wakati wake uliowekwa:+ Hesabu 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Na katika siku ya matunda yaliyoiva ya kwanza,+ mtakapomtolea Yehova toleo la nafaka mpya, katika sherehe yenu ya majuma+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+ Hesabu 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+
4 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova, mikusanyiko mitakatifu,+ ambazo mtatangaza katika wakati wake uliowekwa:+
26 “‘Na katika siku ya matunda yaliyoiva ya kwanza,+ mtakapomtolea Yehova toleo la nafaka mpya, katika sherehe yenu ya majuma+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+
7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+