Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova, mikusanyiko mitakatifu,+ ambazo mtatangaza katika wakati wake uliowekwa:+

  • Hesabu 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Na katika siku ya matunda yaliyoiva ya kwanza,+ mtakapomtolea Yehova toleo la nafaka mpya, katika sherehe yenu ya majuma+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+

  • Hesabu 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki