Mambo ya Walawi 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nanyi hamtafanya kazi ya aina yoyote siku hiyo, kwa sababu ni siku ya upatanisho ili kufanya upatanisho+ kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu; Mathayo 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yote hayo yakifikiriwa, mwanadamu ni mwenye thamani kama nini kuliko kondoo!+ Kwa hiyo ni halali kufanya jambo zuri siku ya sabato.” Marko 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Halafu akawaambia: “Je, katika siku ya sabato ni halali kutenda tendo jema au kutenda tendo baya, kuokoa au kuua nafsi?”+ Lakini wao wakakaa kimya.
28 Nanyi hamtafanya kazi ya aina yoyote siku hiyo, kwa sababu ni siku ya upatanisho ili kufanya upatanisho+ kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu;
12 Yote hayo yakifikiriwa, mwanadamu ni mwenye thamani kama nini kuliko kondoo!+ Kwa hiyo ni halali kufanya jambo zuri siku ya sabato.”
4 Halafu akawaambia: “Je, katika siku ya sabato ni halali kutenda tendo jema au kutenda tendo baya, kuokoa au kuua nafsi?”+ Lakini wao wakakaa kimya.