Mambo ya Walawi 23:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mtamfanyia Yehova sherehe hiyo kwa siku saba kila mwaka.+ Kwa kuwa ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote, mnapaswa kuisherehekea katika mwezi wa saba.
41 Mtamfanyia Yehova sherehe hiyo kwa siku saba kila mwaka.+ Kwa kuwa ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote, mnapaswa kuisherehekea katika mwezi wa saba.