Mambo ya Walawi 23:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nanyi mtaisherehekea kama sherehe kwa Yehova siku saba katika mwaka.+ Kama sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu, mtaisherehekea katika mwezi wa saba.
41 Nanyi mtaisherehekea kama sherehe kwa Yehova siku saba katika mwaka.+ Kama sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu, mtaisherehekea katika mwezi wa saba.