-
Mambo ya Walawi 23:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Nanyi mnapaswa kutoa mikate hiyo pamoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja wasio na kasoro, ng’ombe dume mmoja mchanga, na kondoo dume wawili.+ Watatolewa kwa Yehova wakiwa dhabihu ya kuteketezwa pamoja na toleo la nafaka na matoleo ya vinywaji, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.
-