17 Mnapaswa kuleta mikate miwili kutoka nyumbani ili iwe toleo la kutikiswa. Mikate hiyo inapaswa kuokwa kwa kutumia sehemu mbili za kumi za kipimo cha efa ya unga laini. Inapaswa kuwa na chachu,+ ni mazao ya kwanza yaliyokomaa yanayotolewa kwa Yehova.+