Kutoka 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia, unapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mavuno* ya matunda ya kwanza yaliyoiva* ya kazi zako, na ya vitu unavyopanda shambani;+ na Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mazao ya kazi zako.+ Kutoka 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Nanyi mtafanya Sherehe yenu ya Majuma kwa kutumia mavuno ya kwanza ya ngano iliyokomaa, na pia Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka.+
16 Pia, unapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mavuno* ya matunda ya kwanza yaliyoiva* ya kazi zako, na ya vitu unavyopanda shambani;+ na Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mazao ya kazi zako.+
22 “Nanyi mtafanya Sherehe yenu ya Majuma kwa kutumia mavuno ya kwanza ya ngano iliyokomaa, na pia Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka.+