Mambo ya Walawi 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Nanyi mtajihesabia toka siku inayofuata sabato, toka siku ya kuleta kwenu ule mganda wa toleo la kutikisa, sabato 7.+ Zitakuwa kamili. 1 Wakorintho 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+ 1 Wakorintho 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini kila mmoja katika daraja lake mwenyewe: Kristo aliye matunda ya kwanza,+ baadaye wale walio wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+
15 “‘Nanyi mtajihesabia toka siku inayofuata sabato, toka siku ya kuleta kwenu ule mganda wa toleo la kutikisa, sabato 7.+ Zitakuwa kamili.
20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+
23 Lakini kila mmoja katika daraja lake mwenyewe: Kristo aliye matunda ya kwanza,+ baadaye wale walio wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+