18 Na kitabu cha sheria ya Mungu wa kweli kikasomwa kwa sauti kubwa siku baada ya siku,+ tangu siku ya kwanza mpaka siku ya mwisho; nao wakaendelea kufanya sherehe hiyo siku saba; na katika siku ya nane kukawa na kusanyiko kuu, kulingana na ile kanuni.+
37 Basi siku ya mwisho, ile siku kuu ya sherehe,+ Yesu alikuwa amesimama, naye akapaaza sauti, akisema: “Ikiwa yeyote ana kiu,+ acheni aje kwangu na kunywa.