36 Siku saba mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Siku ya nane mtakuwa na mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Ni kusanyiko kuu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.
37 Basi siku ya mwisho, ile siku kuu ya sherehe,+ Yesu alikuwa amesimama, naye akapaaza sauti, akisema: “Ikiwa yeyote ana kiu,+ acheni aje kwangu na kunywa.