Mambo ya Walawi 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Siku saba mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Siku ya nane mtakuwa na mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Ni kusanyiko kuu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.
36 Siku saba mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Siku ya nane mtakuwa na mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Ni kusanyiko kuu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.