40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza.
5 Nawe utatoa divai iwe toleo la kinywaji,+ sehemu ya nne ya hini, pamoja na lile toleo la kuteketezwa au kwa ajili ya dhabihu ya kila mwana-kondoo dume.
7 pamoja na toleo lake la kinywaji,+ sehemu ya nne ya hini kwa kila mwana-kondoo dume.+ Mimina katika mahali patakatifu lile toleo la kinywaji la kileo+ kwa Yehova.
17 Hata hivyo, hata ikiwa ninamiminwa kama toleo la kinywaji+ juu ya dhabihu+ na utumishi wa watu wote ambako imani imewaongoza ninyi,+ mimi nafurahi na kushangilia+ pamoja nanyi nyote.