14 Na kama matoleo yao ya kinywaji watatoa nusu+ ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe-dume na sehemu ya tatu+ ya hini kwa ajili ya kondoo-dume na sehemu ya nne+ ya hini kwa ajili ya mwana-kondoo dume. Hilo ndilo toleo la kuteketezwa la kila mwezi katika mwezi wake kwa ajili ya miezi ya mwaka.+
26 Nawe utatoa pesa hizo kwa ajili ya chochote ambacho nafsi yako itatamani+ kati ya ng’ombe na kondoo na mbuzi na divai na kileo+ na kitu chochote ambacho huenda nafsi yako ikakuomba; nawe utakula huko mbele za Yehova Mungu wako na kushangilia,+ wewe na nyumba yako.