Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe unapaswa kutoa divai iwe toleo la kinywaji,+ nusu hini, kama toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova.

  • Hesabu 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kama matoleo yao ya kinywaji watatoa nusu+ ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe-dume na sehemu ya tatu+ ya hini kwa ajili ya kondoo-dume na sehemu ya nne+ ya hini kwa ajili ya mwana-kondoo dume. Hilo ndilo toleo la kuteketezwa la kila mwezi katika mwezi wake kwa ajili ya miezi ya mwaka.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nawe utatoa pesa hizo kwa ajili ya chochote ambacho nafsi yako itatamani+ kati ya ng’ombe na kondoo na mbuzi na divai na kileo+ na kitu chochote ambacho huenda nafsi yako ikakuomba; nawe utakula huko mbele za Yehova Mungu wako na kushangilia,+ wewe na nyumba yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki