Mambo ya Walawi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Atatoa toleo lake pamoja na ile dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika na kuziambatanisha na keki za mviringo za mkate wenye chachu.+ Waroma 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
13 Atatoa toleo lake pamoja na ile dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika na kuziambatanisha na keki za mviringo za mkate wenye chachu.+
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.