11 “‘Hakuna toleo lolote la nafaka ambalo mtamtolea Yehova litakalofanywa kuwa kitu kilichotiwa chachu,+ kwa sababu hamtafukiza unga wowote uliokandwa wenye chachu wala asali yoyote, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
17 Kutoka katika makao yenu mtaleta mikate+ miwili iwe toleo la kutikisa. Itakuwa ya sehemu mbili za kumi za efa ya unga laini. Itaokwa ikiwa imetiwa chachu,+ kama matunda ya kwanza yaliyoiva kwa Yehova.+