3 Sema na kusanyiko lote la Israeli, na kuwaambia, ‘Siku ya kumi ya mwezi huu watajichukulia kila mmoja kondoo+ kwa ajili ya nyumba ya mababu, kondoo mmoja kwa kila nyumba.
13Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya pasaka kwamba saa yake ya kutoka katika ulimwengu huu kwenda kwa Baba ilikuwa imefika,+ Yesu, akiwa amewapenda walio wake mwenyewe waliokuwa ulimwenguni,+ akawapenda mpaka mwisho.
7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+