Mathayo 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakakusanyika pamoja katika ua wa kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa,+ Luka 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+ Matendo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 (pia Anasi+ mkuu wa makuhani na Kayafa+ na Yohana na Aleksanda na wengi waliokuwa watu wa jamaa ya huyo mkuu wa makuhani),
3 Ndipo wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakakusanyika pamoja katika ua wa kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa,+
2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+
6 (pia Anasi+ mkuu wa makuhani na Kayafa+ na Yohana na Aleksanda na wengi waliokuwa watu wa jamaa ya huyo mkuu wa makuhani),