Mathayo 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+ Luka 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+ Luka 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Pia, wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia bora ya kumwondolea mbali,+ kwa maana walikuwa wakiwaogopa watu.+ Yohana 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+ Yohana 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Anasi akaagiza apelekwe kwa Kayafa kuhani mkuu+ akiwa amefungwa.
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+
2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+
2 Pia, wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia bora ya kumwondolea mbali,+ kwa maana walikuwa wakiwaogopa watu.+
13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+