Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+

  • Luka 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+

  • Luka 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Pia, wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia bora ya kumwondolea mbali,+ kwa maana walikuwa wakiwaogopa watu.+

  • Yohana 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+

  • Yohana 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Anasi akaagiza apelekwe kwa Kayafa kuhani mkuu+ akiwa amefungwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki