Marko 14:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Sasa wakampeleka Yesu kwa kuhani mkuu, na wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee na waandishi wakakusanyika.+ Yohana 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+
53 Sasa wakampeleka Yesu kwa kuhani mkuu, na wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee na waandishi wakakusanyika.+
13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+