Mathayo 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+ Luka 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+ Yohana 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Anasi akaagiza apelekwe kwa Kayafa kuhani mkuu+ akiwa amefungwa. Matendo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 (pia Anasi+ mkuu wa makuhani na Kayafa+ na Yohana na Aleksanda na wengi waliokuwa watu wa jamaa ya huyo mkuu wa makuhani),
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+
2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+
6 (pia Anasi+ mkuu wa makuhani na Kayafa+ na Yohana na Aleksanda na wengi waliokuwa watu wa jamaa ya huyo mkuu wa makuhani),