- 
	                        
            
            Mathayo 26:57Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
 - 
                            
- 
                                        
57 Wale waliomkamata Yesu wakamwongoza kwa Kayafa kuhani wa cheo cha juu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.
 
 -