Mathayo 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+ Luka 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+ Yohana 11:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Lakini mtu fulani kati yao, Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo,+ akawaambia: “Ninyi hamjui lolote kamwe,
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+
2 katika siku za mkuu wa makuhani Anasi na za Kayafa,+ tangazo la Mungu likamjia Yohana+ mwana wa Zekaria nyikani.+
49 Lakini mtu fulani kati yao, Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo,+ akawaambia: “Ninyi hamjui lolote kamwe,