Mathayo 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+ Yohana 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+ Yohana 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Anasi akaagiza apelekwe kwa Kayafa kuhani mkuu+ akiwa amefungwa. Matendo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 (pia Anasi+ mkuu wa makuhani na Kayafa+ na Yohana na Aleksanda na wengi waliokuwa watu wa jamaa ya huyo mkuu wa makuhani),
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+
13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+
6 (pia Anasi+ mkuu wa makuhani na Kayafa+ na Yohana na Aleksanda na wengi waliokuwa watu wa jamaa ya huyo mkuu wa makuhani),