Mathayo 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+ Luka 22:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Ndipo wakamkamata, wakampeleka+ na kumwingiza katika nyumba ya kuhani mkuu;+ lakini Petro alikuwa akifuata kwa umbali fulani.+ Yohana 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wanaume wazee walikuwa wamekusanywa pamoja.+
54 Ndipo wakamkamata, wakampeleka+ na kumwingiza katika nyumba ya kuhani mkuu;+ lakini Petro alikuwa akifuata kwa umbali fulani.+
13 nao wakampeleka kwanza kwa Anasi; kwa maana alikuwa baba-mkwe wa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+