Mathayo 21:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua. Marko 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa maana walisema tena na tena: “Si kwenye sherehe; huenda kukawa na ghasia ya watu.”+ Luka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+
46 Lakini, ijapokuwa walikuwa wakitafuta kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+
19 Waandishi na wakuu wa makuhani sasa wakatafuta kunyoosha mkono ili wamkamate saa ileile, lakini waliwaogopa watu; kwa maana walifahamu kwamba alisema mfano huo juu yao.+