Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya hapo watumishi wa Farao wakamwambia: “Mtu huyu ataendelea kuwa mtego+ kwetu mpaka wakati gani? Waruhusu watu waende zao ili wamtumikie Yehova Mungu wao. Je, bado hujajua kwamba Misri imeangamia?”+

  • 1 Samweli 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mwishowe Sauli akamwambia Daudi: “Huyu hapa Merabu binti yangu mkubwa zaidi.+ Yeye ndiye nitakayekupa awe mke wako.+ Ila tu jionyeshe kwangu kuwa shujaa na upigane vita vya Yehova.”+ Lakini Sauli alisema moyoni mwake hivi: “Mkono wangu usije juu yake, lakini mkono wa Wafilisti uje juu yake.”+

  • Zaburi 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+

      Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+

  • Zaburi 38:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+

      Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+

      Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+

  • Methali 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+

  • Yeremia 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ulimi wao ni mshale unaoua.+ Huo umesema udanganyifu. Kwa kinywa chake, mtu anaendelea kusema amani pamoja na mwenzake; lakini ndani yake anaweka mavizio yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki