17 Baadaye Sauli akamwambia Daudi: “Ndiye huyu Merabu binti yangu mkubwa.+ Nitakupa awe mke wako.+ Lakini unapaswa kuendelea kunitumikia kwa ujasiri na kupigana vita vya Yehova.”+ Kwa maana Sauli alisema hivi moyoni: ‘Mkono wangu usimuue. Acha mikono ya Wafilisti imuue.’+