25 Na wanaume wa Israeli wakaanza kusema: “Je, mmemwona huyu mwanamume anayepanda? Anapanda ili kuwatukana+ Israeli. Na itatukia kwamba, mtu yule atakayempiga, mfalme atamtajirisha kwa utajiri mwingi sana, naye atampa binti yake,+ kisha ataiweka huru nyumba ya baba yake katika Israeli.”+