25 Wanaume wa Israeli walikuwa wakisema: “Je, mnamwona mwanamume yule anayekuja? Anakuja kuwatukana Waisraeli.+ Mfalme atampa utajiri mwingi mtu atakayemuua mwanamume huyo, atampa pia binti yake mwenyewe,+ naye ataiondolea wajibu nyumba ya baba yake katika Israeli.”