Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Kalebu akasema: “Yeyote atakayeshambulia na kuteka jiji la Kiriath-seferi, nitampa binti yangu Aksa awe mke wake.”

  • 1 Samweli 14:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+⁠

  • 1 Samweli 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Baadaye Sauli akamwambia Daudi: “Ndiye huyu Merabu binti yangu mkubwa.+ Nitakupa awe mke wako.+ Lakini unapaswa kuendelea kunitumikia kwa ujasiri na kupigana vita vya Yehova.”+ Kwa maana Sauli alisema hivi moyoni: ‘Mkono wangu usimuue. Acha mikono ya Wafilisti imuue.’+

  • 1 Samweli 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Sauli akasema: “Nitampa Daudi binti huyo ili awe mtego kwake, na ili mikono ya Wafilisti imuue.”+ Kisha Sauli akamwambia hivi Daudi mara ya pili: “Utafanya mapatano ya ndoa pamoja nami* leo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki