17 Mwishowe Sauli akamwambia Daudi: “Huyu hapa Merabu binti yangu mkubwa zaidi.+ Yeye ndiye nitakayekupa awe mke wako.+ Ila tu jionyeshe kwangu kuwa shujaa na upigane vita vya Yehova.”+ Lakini Sauli alisema moyoni mwake hivi: “Mkono wangu usije juu yake, lakini mkono wa Wafilisti uje juu yake.”+