45 Kwa maana mimi ni Yehova anayewaongoza ninyi kutoka katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu;+ nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+
7 Mkono wa mashahidi kwanza kabisa unapaswa kuja juu yake ili kumuua, na mkono wa watu wote baadaye;+ nawe utakiondolea mbali kilicho kibaya kutoka katikati yako.+