Mwanzo 46:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi mwenyewe nitashuka pamoja nawe Misri nami nitakupandisha pia;+ na Yosefu ataweka mkono wake juu ya macho yako.”+ Kutoka 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami hakika nitawachukua kwangu muwe watu wangu,+ nami kwa kweli nitakuwa Mungu kwenu;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.+ Kutoka 29:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Nao hakika watajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, aliyewatoa katika nchi ya Misri ili nikae kati yao.+ Mimi ni Yehova Mungu wao.+ Zaburi 81:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ni Mungu wako,+Yule anayekutoa katika nchi ya Misri.+Fungua wazi kinywa chako, nami nitakijaza.+ Hosea 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Israeli alipokuwa mvulana, ndipo nikampenda,+ na kutoka Misri nilimwita mwanangu.+
4 Mimi mwenyewe nitashuka pamoja nawe Misri nami nitakupandisha pia;+ na Yosefu ataweka mkono wake juu ya macho yako.”+
7 Nami hakika nitawachukua kwangu muwe watu wangu,+ nami kwa kweli nitakuwa Mungu kwenu;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.+
46 Nao hakika watajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, aliyewatoa katika nchi ya Misri ili nikae kati yao.+ Mimi ni Yehova Mungu wao.+
10 Mimi, Yehova, ni Mungu wako,+Yule anayekutoa katika nchi ya Misri.+Fungua wazi kinywa chako, nami nitakijaza.+