Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu;+ nanyi mtajitakasa wenyewe nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msifanye nafsi zenu kuwa zisizo safi kutokana na kiumbe chochote kinachozaana kwa wingi ambacho hutembea juu ya dunia.

  • Mambo ya Walawi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nanyi mtatimiza wajibu wenu kwangu ili kutoendeleza yoyote kati ya desturi hizo zenye kuchukiza ambazo zimeendelezwa mbele yenu,+ ili msijifanye kuwa wasio safi kutokana nazo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

  • Mambo ya Walawi 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+

  • Ezekieli 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nawe utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Katika siku ile nilipochagua Israeli,+ pia niliuinua mkono+ wangu katika kiapo kwa uzao wa nyumba ya Yakobo+ na kujijulisha kwao katika nchi ya Misri.+ Naam, niliuinua mkono wangu katika kiapo kwao, na kusema, ‘Mimi ni Yehova Mungu wenu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki