8 Nami hakika nitawaingiza katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo+ kwamba nitampa Abrahamu, Isaka na Yakobo; nami kwa kweli nitawapa ninyi iwe mali yenu.+ Mimi ni Yehova.’”+
14 Nanyi mtairithi, kila mmoja sawa na ndugu yake, nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ kwamba nitawapa mababu zenu;+ na nchi hiyo itawaangukia ninyi kwa kura ili kuwa urithi.+