Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. + Ezekieli 48:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Hii itakuwa nchi ambayo mtafanya iangukie makabila ya Israeli kwa kura iwe urithi,+ na hayo yatakuwa mafungu yao,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +
29 “Hii itakuwa nchi ambayo mtafanya iangukie makabila ya Israeli kwa kura iwe urithi,+ na hayo yatakuwa mafungu yao,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.