Ezekieli 47:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Hili ndilo eneo ambalo mtajigawia kuwa urithi wa nchi ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kukiwa na mafungu mawili ya shamba kwa Yosefu.+
13 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Hili ndilo eneo ambalo mtajigawia kuwa urithi wa nchi ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kukiwa na mafungu mawili ya shamba kwa Yosefu.+