2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Mnaingia katika nchi ya Kanaani.+ Hiyo ndiyo nchi itakayowaangukia kwa urithi,+ nchi ya Kanaani kulingana na mipaka yake.+
13 Kwa hiyo Musa akawaamuru wana wa Israeli, na kusema: “Hii ndiyo nchi mtakayojigawia kwa kura+ iwe miliki, kama vile ambavyo Yehova ameamuru ili kuyapa yale makabila tisa na nusu.+